Thursday 22 August 2013

DRAKE ATANGAZA ALBUM YAKE MPYA KWA KUACHIA PICHA ZILIZOPO KWENYE ALBUM(album cover)

Mwanamuziki kutoka marekani "drake" ameachia album cover yake ambayo itakayokuwepo katika album yake
ya tatu iitwayo "Nothing Was the Same".
Picha hizo zinaonyesha jinsi rapper drake alivyokuwa mtoto mpaka sasa alivyo mtu mzima.
Cover hiyo imebuniwa na mbunifu Kadir Nelson ambaye pia alishawahi kubuni/kutengeneza album cover ya michael jackson.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...