Saturday 21 September 2013

HII NDIO LIST YA COUPLES WANAOINGIZA MKWANJA ZAIDI AMBAPO JAY Z NA BEYONCE WAONGOZA KWA MARA NYINGINE TENA.


Hii ni kwa mara nyingine tena ambapo wanandoa hawa(Jay Z & Beyonce) wametajwa kuwa na ni couple inayoingiza mkwanja mwingi zaidi.
Katika gazeti la FORBES la nchini marekani limekaririwa kuwa Jay Z na Beyonce wameingiza kiasi cha $95 million  kati ya mwezi june 2012 mpaka june 2013 huku wakifatiwa na Tom Brady/Gisele Bundchen walioingiza kiascha $80 million
waliofatia katika tano bora ni 
3.   Brad Pitt/Angelina Jolie  ($50 million).
4.   Ashton Kutcher & Mila Kunis ($35 million) 
5.   Kanye West & Kim Kardashian ($30 million)